Samia asamehe 1,036
Mwandishi Wetu, daimatznews@gmail.com
Katika kuadhimisha miaka 64 ya Uhuru wa Tanzania Bara,leo Desemba 9,2025, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ametangaza msamaha kwa wafungwa 1036 walio katika magereza mbalimbali nchini.
![]() |
| Rais Dk.Samia Suluhu Hassan |
Msamaha huo unawagusa wafungwa wenye makosa mbalimbali walioonyesha tabia njema.
Zaidi soma taarifa kamili hapa chini;




Maoni
Chapisha Maoni