Waziri Mkuu ateta na Katibu Mkuu TEC

Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 20, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima.

Waziri Mkuu, Dk.Mwigulu Nchemba(Kulia), akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki nchini (TEC), Padri Charles Kitima.

Wawili hao wamekutana katika Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es Salaam.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Sanamu ya Bikira Maria yaonekana ndani ya Hifadhi ya Taifa Saadani

Kapteni Traole afuata huduma za afya nchini

Wawekezaji wa Oman watua nchini, wateta na NHC kuchochea mapinduzi sekta ya makazi