Wahariri wampongeza Machumu
Mwandishi Wetu, daimatznews@gmail.com
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limempongeza Bakari Machumu kwa kuteuliwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu.
Taarifa iliyosainiwa na Mwenyekiti wa jukwaa hilo, Deodatus Balile, imemtaja Machumu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa TEF, imeeleza kuwa mteule huyo ni mchapa kazi.
Taarifa zaidi ya TEF hii hapa...;

Maoni
Chapisha Maoni