NHC yawapa siku 14 wapangaji waliokimbia na madeni kuyalipa, vinginevyo...
daimatanzania0
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), limetoa siku 14 kwa waliokuwa wapangaji wa nyumba za shirika hilo na kuhama huku wakiacha madeni, kulipa malimbikizo hayo kabla hawajachukuliwa hatua za kisheria.
Chapisha Maoni