NUKUU TATU ZA MGOMBEA URAIS CHAUMMA SALUM MWALIM LEO HIZI HAPA

                 NUKUU TATU ZA MGOMBEA URAIS CHAUMA KOROGWE 03/09/2025

1."Vijana wenzangu jengeni imani kwangu ili tutatue kero zetu, uwezo ninao na sifa ninazo za kuzalisha ajira, wanawake mtajifungua kwa stara na siyo kubeba vifaa kama mnakwenda kuanza shule ya msingi" 

2. "Msikubali kufanywa mazwazwa, wanaokufa ni watoto na wazazi wenu kwa sababu mmeikubatia CCM, uamuzi wa kuikataa  wakwenu ili kukichagua chama kingine muonje radha yake" Mgombea Salum Mwalimu - CHAUMMA Korogwe Vijijini.

3." Tunatakiwa kuwa na kilimo cha utashi ili kulima.mazao yote ya biashara katika mikoa yote ili kuiondoa Tanzania katika umaskini, tuchagueni  CHAUMMA ili neema aliyotujaalia tuitumie ya kuwekeza katika kilimo hata tukajenga kiwanda kidogo cha juisi ili watu wapate ajira" Mgombea wa CHAUMMA Salum Mwaiim Jimbo la Muheza.



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Sanamu ya Bikira Maria yaonekana ndani ya Hifadhi ya Taifa Saadani

Kapteni Traole afuata huduma za afya nchini

Wawekezaji wa Oman watua nchini, wateta na NHC kuchochea mapinduzi sekta ya makazi