NUKUU TATU ZA MGOMBEA URAIS CHAUMMA SALUM MWALIM LEO HIZI HAPA

NUKUU TATU ZA MGOMBEA URAIS CHAUMA KOROGWE 03/09/2025 1."Vijana wenzangu jengeni imani kwangu ili tutatue kero zetu, uwezo ninao na sifa ninazo za kuzalisha ajira, wanawake mtajifungua kwa stara na siyo kubeba vifaa kama mnakwenda kuanza shule ya msingi" 2. "Msikubali kufanywa mazwazwa, wanaokufa ni watoto na wazazi wenu kwa sababu mmeikubatia CCM, uamuzi wa kuikataa wakwenu ili kukichagua chama kingine muonje radha yake" Mgombea Salum Mwalimu - CHAUMMA Korogwe Vijijini. 3." Tunatakiwa kuwa na kilimo cha utashi ili kulima.mazao yote ya biashara katika mikoa yote ili kuiondoa Tanzania katika umaskini, tuchagueni CHAUMMA ili neema aliyotujaalia tuitumie ya kuwekeza katika kilimo hata tukajenga kiwanda kidogo cha juisi ili watu wapate ajira" Mgombea wa CHAUMMA Salum Mwaiim Jimbo la Muheza.