Wagombea udiwani wa kata yako Dar hawa hapa

 Mwandishi Wetu, daimatznews@gmail.com

Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kimeweka hadharani majina ya wanachama wake waliopita kwenye chekeche na kuteuliwa na vikao vya juu vya chama hicho kwenda kupigiwa kura za maoni kuwania nafasi za udiwani.

Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu

Tangazo hilo limejumuisha wagombea wa udiwani katika kata zote za mkoa huo wenye wilaya tano za Ilala, Kinondoni, Ubungo, Kigamboni na Temeke, huku ukiwa na majimbo 11 ya uchaguzi ambayo ni Kivule, Kigamboni, Ilala, Temeke, Ubungo, Kibamba, Kawe, Ukonga, Chamazi, Mbagala na Kinondoni.

Mkoa wa dar es Salaam una takriban kata 102 ambazo mmoja wa watia nia hao wa CCM watakaopigiwa kura za maoni, atapata nafasi kukiwakilisha chama chake kuwania udiwani kwenye uchaguzi Mkuu Oktoba 29.

Yafuatayo ni majina ya Wilaya, Kata na majina ya walioteuliwa kupigiwa kura za maoni;

CHAMA CHA MAPINDUZI  MKOA WA DAR ES SALAAM WANACHAMA WALIOTEULIWA KUPIGIWA KURA ZA MAONI KWA NAFASI YA UDIWANI

 

  WILAYA YA UBUNGO

1.            KATA YA MBURAHATI

WALIOTEULIWA A

1.            Yusuph Omary YENGA

2.            Benedictor Joseph MALANGE

3.            Robati Charlse LUPEMBE

 

2.            KATA YA GOBA

WALIOTEULIWA

1.            Lawrence Christopher MLAKI

2.            Primi George KIZITO

3.            Emmanuel Ndaiga MSTAA

 

3.            KATA YA YA KIBAMBA

WALIOTEULIWA

1.            Joye Emmanuel ADHERO  

2.            Otaigo Elisha MWITA

3.            Saidi Mohamed RAMADHANI  

 

4.            KATA YA YA KIMARA

WALIOTEULIWA

1.            Denis Steven MGUYE  

2.            Paschal Melkiad MANOTA

3.            Ismal B. MVUNGI  

 

5.            KATA YA YA KWEMBE

WALIOTEULIWA

1.            Kawina KONDE  

2.            Fatma Abdallah SALIM  

3.            Richard BOTALINGAYA

 

6.            KATA YA YA MABIBO

WALIOTEULIWA

1.            Ashura Mohamed SENGONDO  

2.            Joseph Thomas KLERRUU  

3.            Seif Hassan NYUKI

4.            Abdultif MAUNDU

     

7.            KATA YA YA MAKUBURI

WALIOTEULIWA

1.            Olivery Quirine SHIRIMA  

2.            Issa  Ahmed FARU

3.            Getrude B ASSEY

 

8.            KATA YA YA MAKURUMLA

WALIOTEULIWA

1.            Bakari Hassan KIMWANGA  

2.            Rajabu Suleiman HASSAN

3.            Idd Shaban TALETALE

 

9.            KATA YA YA UBUNGO

WALIOTEULIWA

1.            Jaffary Juma NYAIGESHA  2. William Masanja MLENGE

3. Salome Mateo SEDOYEKA  

 

10.       KATA YA YA MANZESE

WALIOTEULIWA

1.            Ally Ibrahim BAKARI  

2.            Ally Said SALENGA

3.            Hawa Abdulrahani ALLY  

  

11.       KATA YA YA MBEZI

WALIOTEULIWA

1.            Richard Costantine FUNGA  

2.            Pius Nyantor RAGEZO

3.            Mary Benson MWAMFUPE

 

12.       KATA YA YA MSIGANI

WALIOTEULIWA

1.            Zaidi Jumanne MULIRO

2.            Reinhard Gervas CHIKANDO  

3.            Hassan Siraji MWASHA

 

13.       KATA YA YA SINZA

WALIOTEULIWA

1.            Raphal Nyangi AWINO  

2.            Lusinga Mohamed NINGA

3.            Salumu H. KAZI

 

14.       KATA YA YA SARANGA

WALIOTEULIWA

1.            Angela Paul LEYOKO  

2.            Elga Elisha MWAMKINGA  

3.            John Jerememia SANGA

 

WILAYA YA ILALA 

1.           KATA YA MCHIKICHINI

WALIOTEULIWA

1.   Nurdin Bilali JUMA (Shetta)

2.   Azimkhan Akber AZIMKHAN

3.   Joseph John NGOWA  

2.           KATA YA ILALA WALIOTEULIWA

1.     Saady Mohamed KHIMJI  

2.     Mwasiti Shaban RAJAB

3.     Ayoub Grasimus ERIO  

 

3.           KATA YA GEREZANI

WALIOTEULIWA

1.     Fatuma Abubakari ALLY  

2.     Kassmary Ahmed MOHAMED  

3.     Amina Salehe HASSAN

 

4.           KATA YA JANGWANI

WALIOTEULIWA

1.       Zacharia M. DIGOSI  

2.       Nassib Hassan KITUBI

3.       Zuwena Mohamed SULEIMAN

  

5.           KATA YA KARIAKOO

WALIOTEULIWA

1.     Daudi Abdallah SIMBA  

2.     Abdulkarimu MASSAMAKI  

3.     Haji Sande MANARA

 

6.           KATA YA UPANGA MAGHARIBI

WALIOTEULIWA

1.     Adnan Kitwana KONDO  

2.     Doreen Fredy RIWA  

3.     Khali Ifan KARIM

7.           KATA YA UPANGA MASHARIKI

WALIOTEULIWA

1.              Sultan Ahmed SALIM  

2.              Bisendo Mossy BISENDO

3.              Leila Abdul RASHID  

 

8.           KATA YA MCHAFUKOGE

WALIOTEULIWA

1.              Mariam M. LULIDA  

2.              Omari Ramadhan HATIBU  

3.              Owais Hanif SADICK

 

 9.           KATA YA KISUTU

WALIOTEULIWA

1.              Stanley Itika NADIA  

2.              Tousif Mohamedali BHOJAN

3.              Camila A. KIANGO  

4.              Abdulkheir Mohamed KESSY

 

10.      KATA YA KIVUKONI

WALIOTEULIWA

1.            Robart A. MHANDO  

2.            Shark Liykat CHOUGHULE 

3.            Ismail RAGE 

4.            Mohamed RAHIM    

 

11.      KATA YA BUGURUNI

WALIOTEULIWA

1.           Huba Ramadhani POSSY  

2.           Zahoro Mohamed MUHAJI  

3.           Barua Abdi MWAKILANGA  

 

 

12.      KATA YA TABATA

WALIOTEULIWA

1.              Sudi Kassim SUDI  

2.              Zena Ally KENGERA  

3.              Zakari Biseko ZAKARIA 

 

13.      KATA YA KIWALANI

WALIOTEULIWA

1.              Mussa S. KAFANA  

2.              Edesius E. RWEHUMBIZA  

3.              Iddi M. BURAN 

 

14.      KATA YA MINAZI MIREFU

WALIOTEULIWA

1.            Godlisten Onel MALISA  

2.            Athuman M. ATHUMAN  

3.            Hussein M. DIGILA 

 

15.      KATA YA VINGUNGUTI WALIOTEULIWA

1.         Asaa Simba HARUNI  

2.         Omari Said KUMBILAMOTO  

3.         Zulfa R. ALLY 

 

16.      KATA YA MNYAMANI

WALIOTEULIWA

1.       Shukuru A. DEGE  

2.       Hamadi O. PAZI  

3.       Jabil A. SANZE 

 

 

17.      KATA YA KINYEREZI

WALIOTEULIWA

1.       John Ryoba MREMA  

2.       Godfrey Materm SHIRIMA  

3.       Haika Joseph MGAZA 

 

18.      KATA YA KISUKURU

WALIOTEULIWA

1.       Amiry Seleman MSUYA  

2.       Lucy Jeremia LUGOME  

3.       Naftal John SANGA 

  

19.      KATA YA BONYOKWA

WALIOTEULIWA

1.         Tumike Jabir MALILO  

2.         Jenipher Cassian MASOTA  

3.         Elirehema S. NASSARY 

 

20.      KATA YA LIWITI WALIOTEULIWA

1.         Abero Hamis MATUNGA  

2.         Vicent Fulgence KATAGIRA  

3.         Alice Joshua MWANGOMO 

 

21.      KATA YA KIPAWA

WALIOTEULIWA

1.            Aziza Sindi MENGWA  

2.            Mshindo Ibrahimu MAKONGWA  

3.            Yusuph Masige LIMA 

 

22.      KATA YA KIMANGA

WALIOTEULIWA

1.            Dominic Andrew OREMBE  

2.            Julius Peter LYIMO  

3.            Edward Stephano HAULE

4.            Marysia Anton TUKAI

 

23.      KATA YA SEGEREA

WALIOTEULIWA

1.              Robert J. MANANGWA  

2.              Mariam M. MACHICHA 

3.              Alice S. RWECHUNGULA

 

24.      KATA YA ZINGIZIWA

WALIOTEULIWA

1.              Maige Seleman MAGANGA  

2.              Abdillahi Salim MPATE  

3.              Seleman Ayoub KANIKI 

 

25.      KATA YA KITUNDA

WALIOTEULIWA

1.              Selemani Abdallah MTENA  

2.              Godwin Moses MAFIE  

3.              Victor Vedasto KAGOMBORA 

 

 

26.      KATA YA KIPUNGUNI

WALIOTEULIWA

1.              Adivela Hurbert NIKATA

2.              Boazi Kipingo IKUPILIKA  

3.              Stephen Wiliam MUSHI 

 

27.      KATA YA KIKIVULE

WALIOTEULIWA

1.              Rajabu Shabani MANYINYA

2.              Nyansika  Getama MOTENA

3.              Kelvin Bernard WILLIAM

 

28.      KATA YA MSONGOLA

WALIOTEULIWA

1.           Azizi Jafari MWALILE 

2.           Bonaventura Francis NGALAWA

3.           Magdalena Thomas NKOBA 

 

29.      KATA YA MAJOHE

WALIOTEULIWA

1.          Julius Mataro GEKULA 

2.          Latifa Hamadi KIMARO

3.          Paschal Raina LINYAMALA 

 

30.      KATA YA UKONGA

WALIOTEULIWA

1.          Ramadhani Ally BENDERA 

2.          Adinani Hassan SAADUN 

3.          Tamasha Mohamed LUGENGELULE

 

31.      KATA YA PUGU WALIOTEULIWA

1.          Imelda Timoth SAMJELA 

2.          Frenk Joseph MANG’ATI 

3.          Magere  PAUL

 

32.      KATA YA STESHENI

WALIOTEULIWA

1.        Shabani Yohana MUSSA 

2.        Amina Kassim TENDEGA

3.        Tony Amani DILUNGA  

 

  

33.      KATA YA CHANIKA

WALIOTEULIWA

1.        Gaudance Samumba KASHOKA 

2.        Gaudance MBWELWA  

3.        Rahma Mbiu MGAMBO

 

34.      KATA YA MBUYUNI

WALIOTEULIWA

1.            Athumani Maembe ALLY  

2.            Jesca Mickison MOTO 

3.            Dismas Dominck MSINDO 

 

 

35.      KATA YA GONGOLAMBOTO

WALIOTEULIWA

1.              Doricas Rukiko SIMBURYA  

2.              Kenneth Alphonce MLAWA

3.              Lucas Munobi RUTAINURWA  

 

36.      KATA YA MZINGA

WALIOTEULIWA

1.              Diana George MANENO  

2.              Job Isaack IBRAHIM  

3.              Lucas Lucas MKINDA

 

 

WILAYA YA KINONDONI wKATA YA KINONDONI

WALIOTEULIWA

4.              Idrissa Said NGATICHE  

5.              Salehe Alawi ABDALLAH

6.              Sumaiya Ahmed ISMAIL

 

 

 

1. KATA YA MZIMUNI WALIOTEULIWA

1.            Manfred  Chrisipen  LYOTO  

2.            Zubeda Twalib  MALIK

3.            Faustin Shehu MAZINA

4.            Said Salum MASANGA

 

2. KATA YA TANDALE WALIOTEULIWA

1.     Abdallah A. AZIZ  

2.     Hatibu Salim KIBWANA

3.     Tamim Omary TAMIM

 

3. KATA YA MWANANYAMALA WALIOTEULIWA

1.         Songoro Hamisi MNYONGE  

2.         Geofrey John KAMALA  

3.         Daniel Henry NYALUSI

 

4.         KATA YA HANANASIF WALIOTEULIWA

1.     Josephine Aidan WAGE  

2.     Killah Aziz ABDALLAH

3.     Kelvin Lazaro NJAU

 

5. KATA YA KIGOGO WALIOTEULIWA

1.     Nassibu R. LIMIRA

2.     Richard M.  MGANA

3.     Rashid MRUTU   

 

6. KATA YA MAGOMENI WALIOTEULIWA

1.   Abdallah Rajabu MANGALA

2.   Athumani  A. SHEKA

3.   Noordin Yussuph  HASSAN

 

7.              KATA YA MAKUMBUSHO

WALIOTEULIWA

1.   Fikirini Lebbayo NYAMATUNGENI  

2.   Muharami Rajabu CHUMA  

3.   Mohamed Ally MOHAMED

 

 

8.              KATA YA NDUGUMBI WALIOTEULIWA

1.   Amina Z. MTEMVU

2.   Kassimu S. KAVITENDA

3.   Godfrey M. MKOBA

 

 9.              KATA YA KIJITONYAMA WALIOTEULIWA

1.      Amani Mohamed BALANDE  

2.      Fatuma Abdul MGENI  

3.      George Abbi Nagawe LYAMUYA

 

10.           KATA YA KUNDUCHI

WALIOTEULIWA

1.   Emmanuel A. MKUCHU  

2.   Happiness J.KINYAHA  

3.   Joyce Martin HAULE

 

 

11. KATA YA MBWENI

WALIOTEULIWA

1.     Single Mohamed MTAMBALIKE

2.     Abdulkadir Abdu MGHENI

3.     Jacob N. MATINYA

 

12. KATA YA MIKOCHENI

WALIOTEULIWA

1.        Eng. Hussein I. NZENZELY

2.        Rehema Ayoub MANDINGO

3.        Bernard O LWEHABURA

 

13. KATA YA KAWE

WALIOTEULIWA

1.            Bernard F. MALIMA  

2.            Salum KUHOWA(VIDUKA)

3.            Asha H. KOMBA  

 

14. KATA YA MABWEPANDE

WALIOTEULIWA

1.         Andrew Isaac MASHIMBA

2.         Kaunda Silas KILINDA

3.         Scondina J. KIPANGULE

 

15. KATA YA MBEZI JUU 

WALIOTEULIWA

1.        Amossi Lucas MATONYA

2.        Anna Michael LUKINDO

3.        Naima Amiri MRISHO

 

16. KATA YA MAKONGO

WALIOTEULIWA

1.        Rwegasira Joseph SAMSON

2.        Deusdedith Jacob MTIRO

3.        Undule Hezroin MWAMPULO

  

17. KATA YA BUNJU

WALIOTEULIWA

1.        Andrew Samson GESURURA  

2.        Pilly  Othman. CHANDE  

3.        Razalous  Anoisye MWAKIPOSA

4.        Shabir Akbar ISMAIL

 

18. KATA YA MSASANI

WALIOTEULIWA

1.     Yussuf Khamis YUSSUF  

2.     Evelyn  Thomas MTIRO

3.     Richard Imani  MWAKYULU  

 

19. KATA YA WAZO

WALIOTEULIWA

1.     Grace Bethuel MKUMBWA  

2.     Jesca  Leslie MROPE

3.     Vedastus Stanslaus  MAHURA  

 

WILAYA YA TEMEKE – KATA 23

1.                     KATA YA KURASINI

WALIOTEULIWA

1.    Selestine Pnkras NYAKUNGA

2.    Sendewe Idd MTAMBALIKE

3.    Stanley Wilson LIMA

 

2.                     KATA YA MTONI WALIOTEULIWA

1.    Abasi Omary KILAPO

2.    Halima Muhando RAJABU

3.    Ismail Mohamed SAIDI

 

 

3.                     KATA YA CHANG’OMBE

WALIOTEULIWA 

1.    Dr, Geofrey Pius KINGAZI

2.    Mwanakombo Ramadhani MWINYIMBEGU

3.    Kevin Abiud MHIDZE

4.    Caroline David HENRICH

 

4.                     KATA YA BUZA

WALIOTEULIWA

1.   Januari Agustino KIMARO

2.   Hussein Selemani NGUVU

3.   Mahamoud Athuman RASHID

 

5.                     KATA YA TANDIKA

WALIOTEULIWA

1.   Asumini Ally GALUMBINE

2.   Alawi Yahaha  UGAMA

3.   Ally Abdallah MKUMBA

4.   Uzairu Abdul ATHUMANI

 

6.                     KATA YA YOMBO VITUKA WALIOTEULIWA

1.      Fulgence Mchunguzi  LWIZA

2.      Mustapha Mohamed KASHAKALA

3.      Angelina Joseph KUHANWA

 

7.                     KATA YA YOMBO MAKANGARAWE WALIOTEULIWA

1.   Fadhil Awami  MBOGA

2.   Morice Edimund KAPINGA

3.   Abdallah Mbwana MWAVESO

4.   Hamza Mohamed MANENO

 

8.                     KATA YA KEKO

WALIOTEULIWA

1. Ismail Said AMANZI

2. Constantine W. MUNUO

3. Ismail Y. RUSHANSHUMWA

9.                     KATA YA KILAKALA

WALIOTEULIWA

1. Amri Bakari SALUM

2. Marry Michael MLAPONI

3. Erick Magowa ZUBERI

 

10.                KATA YA SANDALI

WALIOTEULIWA

1. Mrisho Hassan KAMBA

2. Hussein Awadhi SIMBA

3. David Richard MWITUMBA

 

11.                KATA YA CHAMAZI

WALIOTEULIWA

1.   Abdulmajid NGILILEA

2.   Severina Laulent MUBIGA

3.   Sabrina Saidi GWANDO

4.   Fadhili Ahmad KATUMBO

 

12.                KATA YA CHARAMBE

WALIOTEULIWA

1.   Amina Akida Mohamed

2.   Mkonge Hakika KATANI

3.   Twahir Shani KAMONA

 

 

13.                KATA YA KILUNGULE

WALIOTEULIWA

1.   Donald Chacha TOGHOCHO

2.   Samwel Nganga NKWABI

3.   Tatu Hamis MAPUNDA

 

14.                KATA YA MBAGALA

WALIOTEULIWA

1. Michael  Francis Makwega 2. Abdulkarim Hamis PAZI

3. Siwema Juma AKUKWETE

 

15.                KATA YA AZIMIO

WALIOTEULIWA

1.      AMINA ISMAIL LALANI

2.      HAMDUNI ALLY MOHAMED

3.      JAOB NORBERT CHENGA

 

16.                KATA YA MIANZINI

WALIOTEULIWA

1.   Abdallah Mzee MBWERA

2.   Issa Said MAGOMBEKA

3.   Shum Mohamed PHARIS

 

17.                KATA YA TOANGOMA

WALIOTEULIWA

1.   Tito Eliakim OSORO

2.   Zebedayo John MSIGWA

3.   David P. KULINGA 

4.   Hanifa Kitwana KONDO

 

18.                KATA YA KIBONDEMAJI

WALIOTEULIWA

1. Abisai Richard LUMATO

2. Adolf Gaibu LINGA

3. Mustafa Nassoro MSUMY

 

 

19.                KATA YA KIBURUGWA

WALIOTEULIWA

1.   Fatuma Hussein SUNGURA

2.   Haruna Maulidi MTWIKU

3.   Rashid Hassani CHABRUMA

 

20.                KATA YA KIJICHI

WALIOTEULIWA

1.   Alphonce Vitalis NDIEGE

2.   Hamis Slim HAMIS

3.   Abdukarim Khamis BAKARI

4.   Tibelyo Exavery KALINGA

 

21.                KATA YA MBAGALA KUU

WALIOTEULIWA

1.   Aloyce F. MNAMA

2.   Anna Milinga SHIJA

3.   Ramadhani Idrisa SELLOUS

4.   Abdulkarim PAZI

 

 

22.                KATA YA MIBURANI

WALIOTEULIWA

1.   Juma Rajabu MKENGA

2.   Rehema Athumani KISANI

3.   Abeid Abubakar MVUMA

4.   Amir Matimbwa (MATIMBWA)

 

23.                KATA YA TEMEKE

WALIOTEULIWA

1.   Fortunatus John MANGELA

2.   Maryam Juma MTEMVU

3.   Said K. Kagomba CHENJA

 

WILAYA YA KIGAMBONI 

1.            KATA YA MJIMWEMA

WALIOTEULIWA

1.            Omari Ramadhani NGURANGWAA

2.            Mathias Mckenzia WANZOKI

3.            Asha Khalid CHOGA

 

2.            KATA YA SOMANGIRA

WALIOTEULIWA

1.            Vicent Julius MBALAMWEZI

2.            Juma Ally LUJA

3.            Stephano Maganga WARYOBA

 

3.            KATA YA KIMBIJI

WALIOTEULIWA

1.            Maimuna Mwinyimpingu YUSUPHU

2.            Bahati Lupyana MGAYA

3.            Paul Salu MSINGWA

 

4.            KATA YA TUNGI WALIOTEULIWA

1.            Adamson Thomas ZADINA

2.            Ernest Maimbo NDAMBO

3.            Frank Filbert KAYUMBA

5.            KATA YA KIBADA

WALIOTEULIWA

1.            Amina S. sambo

2.            Nickson MTANI

3.            Amina S. SAID

 

6.            KATA YA PEMBAMNAZI

WALIOTEULIWA

1.            Abdulmalik Ally MKALAPEMA

2.            Lyoba Ramadhani YAMLINGA

3.            Ahmed Ramadhani DAU

4.            Akiba Amir SIMBA

 

7.            KATA YA KSARAWE

WALIOTEULIWA

1.            Issa Kemmeo ZAHORO

2.            Mbegu Miraji KAWAMBWA

3.            Swaumu Faroe MATUGA

 

8.            KATA YA VIJIBWENI

WALIOTEULIWA

1.            Zacharia Juliana MKUNDI

2.            Nicholaus S. MLANDA

3.            Lucy J. KANYOPA

 

9.            KATA YA KIGAMBONI

WALIOTEULIWA

1.            Dotto Dotto MSAWA

2.            Seif Said SEIF

3.            Linda Joseph MBWILIZA


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Sanamu ya Bikira Maria yaonekana ndani ya Hifadhi ya Taifa Saadani

Kapteni Traole afuata huduma za afya nchini

Wawekezaji wa Oman watua nchini, wateta na NHC kuchochea mapinduzi sekta ya makazi