BYABATO: NIMEJIANDIKISHA WEWE JE?


Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Wakili Stephen Byabato akijiandikisha kwenye Daftari la Wapiga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mtaa wa Migera Kata ya Nshambya Manispaa ya Bukoba, Leo tarehe 18 Oktoba, 2024.



#ByabatoKazini 

#NimejiandikishaweweJe

#UchaguziSerikalizaMitaa

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Sanamu ya Bikira Maria yaonekana ndani ya Hifadhi ya Taifa Saadani

Kapteni Traole afuata huduma za afya nchini

Wawekezaji wa Oman watua nchini, wateta na NHC kuchochea mapinduzi sekta ya makazi