Mbunge Ulanga 'alia' na Tanroads

-Sasa chumvi wauziwa Sh1,500

Mbunge wa Ulanga, ameishambulia Tanroads kwa kushindwa kutimiza wajibu wake kukarabati barabara, hivyo kuwaletea adha wananchi wa jimbo hilo iliyosababisha kupanda kwa gharama za maisha hata kununua kilo ya chumvi kwa shilingi 1,500 sasa. 

Zaidi fuatilia linki hapo chini

https://youtube.com/watch?v=kXBB06uSHI4&si=8xFfe0bpguIdXdpF

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Sanamu ya Bikira Maria yaonekana ndani ya Hifadhi ya Taifa Saadani

Kapteni Traole afuata huduma za afya nchini

Wawekezaji wa Oman watua nchini, wateta na NHC kuchochea mapinduzi sekta ya makazi