RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AMKARIBISHA RAIS WA NAMIBIA IKULU DAR

Picha mbalimbali zikionesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alivyomkaribisha Rais wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah Ikulu muda mfupi baada ya kuwasili nchini kwa ziara rasmi, leo Mei 20, 2025.



Post a Comment

Mpya zaidi Nzee zaidi