Jumanne, 20 Mei 2025

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AMKARIBISHA RAIS WA NAMIBIA IKULU DAR

Picha mbalimbali zikionesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alivyomkaribisha Rais wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah Ikulu muda mfupi baada ya kuwasili nchini kwa ziara rasmi, leo Mei 20, 2025.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni