Waziri Nape ziarani mikoa minne Kanda ya Ziwa

Pichani juu na chini, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) akisalimiana na baadhi ya viongozi wa taasisi zilizo chini ya wizara yake, baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kigoma Julai 14, 2024 tayari kuanza ziara ya siku tano katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa ya Kigoma, Kagera, Mwanza, Geita na Shinyanga kwa ajili ya kukagua Miradi ya Ujenzi wa Minara ya Mawasiliano.




 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Sanamu ya Bikira Maria yaonekana ndani ya Hifadhi ya Taifa Saadani

Kapteni Traole afuata huduma za afya nchini

Wawekezaji wa Oman watua nchini, wateta na NHC kuchochea mapinduzi sekta ya makazi