1.Mkurugenzi TASAF alivyozungumza na wananchi
2. Wanakijiji wakimsikiliza
![]() |
Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Oldonyowasi, Arumeru mkoani Arusha, ambao ni wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini, wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, Shedrack Mziray (hayupo pichani), alipowatembelea kijijini hapo Julai 15,2024. |
3. Shule iliyojengwa na TASAF
![]() |
Sehemu ya madarasa ya Shule ya Sekondari Oldonyowasi iliyopo Arumeru mkoani Arusha, yaliyojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii, TASAF. |
0 Maoni