ACT wateua mgombea Mtambwe

Chama cha ACT Wazalendo kimeanza safari kuliwania tena Jimbo la Uwakilishi Mtambwe, kwa kumteua Dk. Mohammed Ali Suleiman pichani chini, kuwa mgombea wa kiti hicho.
Tayari Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imetangaza tarehe 28 Oktoba kuwa ndiyo siku ya uchaguzi mdogo wa jimbo hilo, kufuatia kifo cha aliyekuwa Mwakilishi wake, Habib Mohammed Ali, Machi 3, mwaka huu.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Sanamu ya Bikira Maria yaonekana ndani ya Hifadhi ya Taifa Saadani

Kapteni Traole afuata huduma za afya nchini

Wawekezaji wa Oman watua nchini, wateta na NHC kuchochea mapinduzi sekta ya makazi